Posts

Kang'ata aomba msamaha baada ya barua yake kuzua joto la kisiasa

published on
- Kang'ata amekiri aliandika barua hiyo na kumtumia Rais Uhuru Disemba 30 - Hata hivyo amekana kuitoa kwa vyombo vya habari Jumapili Januari 3 - Ameomba msamaha kwa kufichuka kwa barua hiyo akisema ni mmoja wa aliowatumia ambao waliitoa kwa vyombo vya habari Kiranja wa wengi kwenye seneti Irungu Kang'ata ameomba msamaha kuhusu barua aliyomwandikia Rais Uhuru Kenyatta Jumapili Januari 3. Seneta huyo alidhibitisha kuwa barua hiyo iliyozua joto la kisiasa ilikuwa halali lakini akaongeza si yeye aliitoa kwa vyombo vya habari. Read More...

PDP Knocks Oyetola Over Blockage Of Access To Rally Venues

published on
The Peoples Democratic Party (PDP) in Osun State has slammed Governor Gboyega Oyetola over the blockage of access to two rally venues in the state. Naija News had reported that the PDP governorship candidate, Ademola Adeleke, had claimed that the state government restricted access to the Osogbo City Stadium and Freedom Park, Osogbo. He stated that a letter was written to the state government to get permission to use the two venues for its mega rally but the PDP’s request was denied. Read More...